Thursday, March 11, 2010

Didier Drogba ndio mwanasoka bora Afrika


Mchezaji matata wa Ivory Coast Didier Droga ameshinda tuzo la mwanasoka bora zaidi barani Afrika mwaka 2009.
Drogba alifunga mabao matano wakati Ivory Coast ilipofuzu kwa kombe la dunia na vile vile kuifungiaa klabu yake bao katika Mwenzake wa klabu hiyo Michael Essien na mchezaji wa Cameroon Samuel Eto'o waliteuliwa kuwania tuzo hiyo.

Drogba, aliyefikisha umri wa miaka 32, hapo jana, amewahi kushinda tuzo hiyo mwaka wa 2006.

Timu ya taifa ya Algeria ilitajwa kuwa timu bora zaidi mwaka huu katika sherehe iliyofanyika mjini Accra, Ghana. ya kombe la FA...


source gblp

No comments:

Post a Comment